Kangeta Kilimo APK 1.0.1 - Download grátis

Baixar APK

Última atualização: 27 de Mai de 2019

Informações do aplicativo

Humsadia mkulima na mfugaji kutatua tatiza a magica, Wadudu, magugu na masoko

Nome do aplicativo: Kangeta Kilimo

ID do aplicativo: com.app.kangetakilimo

Classificação: 4.6 / 43+

Autor: Kangeta Kilimo

Tamanho do aplicativo: 15.23 MB

Descrição detalhada

Ni mtandao wa kilimo unaumumia malighafi za kilimo na masoko yaliyopo Tanzania na África kwa jumla ikiwa imelenga wakulima wadogo wa kati na wakubwa katika kuwapia njia bora za kilimo na technologia.

Kangetakilimo inawawezesha na kuwapa uwezo wakulima wadogowadogo kwa kutumia technologia katika kilimo kwa mlengo wa kulima kibiashara.

Kutokana na changamoto é um kilimo na uhaba wa wataalam wa kilimo Tumeamua kuanzisha chombo kangeta kilimo ambacho kitakuwa kinawaunganisha wakulima, wafugaji na wataalam wa kilimo kwa urahisi hata ukiwa mbali kiasi gani kupitia simu zao za mikononi

- kumsaidia mkulima kutatua tatizo a visumbufu vya mazao na mifugo kama magonjwa na wadudu waharibifu kwa urahisi na uharaka kwa kutuma picha au ujumbe kisha utapatiwa majibu haraka.
- Kumsaidia mkulima kuweza kupata masoko ya mazao yake kwa urahisi na kupitia simu yake.
- Kumsaidia mkulima kufahamu mbegu bora, mbolea, viwatilifu, visumbufu vya mazao, vinyunyizi kwa kutumia simu yake
 
2 MATARAJIO

- mkulima atapata taarifa za magonjwa na visumbufu vya mazao kutoka kwa kangetakilimo app anachotakiwa ni kutuma picha ya zao lililoathiriwa au ya mdudu anayeharibu mazao pia hata kwa kuto maelezo kwa maandishi tu

- taarifa za masoko zitapatikana kwa wakulima kupitia mfumo nilioutaja hapo juu.
Changamoto

Ulimwengu umefanya juhudi kubwa kupunguza unsikini. Mwaka 1990 asilimia 43% ya idadi ya watu katika nchi zinazo endelea wanaishi chini ya dola 1 kwa siku. Mnamo mwaka 2010 idadi hiyo ilipungua kwa nusu na kufikia asilimia 21.
Ingawa bado kuna idadi ya watu wafikao milioni 900 uliwenguni ni wastani wa asilimia 70% ya idadi hiyo wanaishi vijijini, wengi wao bado wanafanya kilimo kwa aji ya kula tu ili waweze kuishi.
Kangetakilimo imeona biashara ni njia nzuri ya kuondoa umasikini ambayo kila mtu anaweza kuishi na kuwa na hakiba. Kuinua kilimo ni nia muhimu katika kufikia malengo.
Fursa
Ingawa fursa ni nyingi ulimwenguni, asilimia 60% ya watu masikini ulimwenguni wanaishi África. Kiasi kikubwa cha ardhi ambayo haitumiki inapatikana África.
Wakati huo huo matazamio ni kwa idadi ya watu África ambayo inatalajiwa kuongezeka mara mbili ya bilhões mbili ifikapo mwaka 2050. Ardhi na wafanyakazi vinapatikana. Changamoto moja itakuwa ni kutumia malighafi hii kufikia mahitaji yanayokua ya chakula.
Suluhisho linabaki katika kuongeza uwezo wa uzalishaji wa kilimo kulingana na UNFAO. África inauwezo wa uzalishaji asilimia 24, América ya kati asilimia 35, na Ásia ya kati asilimia 36. Ulimwengu umeoa kuna fulsa kubwa ya kilimo África.
Mapinduzi ya kilimo África yameendelea lakini mapinduzi haya ya kilimo yanajumuisha na kuwafaidisha masikini wanaoishi vijijini na mipakani mwa Africa.
Mnyororo wa thamani
Wakulima wa vijijini wa Africa na nchi zinazoendelea wanapaswa kuwa ni moja ya sehemu ya suluhisho katika kuongeza uzalishaji na kuondoa umasikini vijijini. Você pode ser feliz com o facebook, o twitter, o makundi ya o watsapp kwa ajili ya wakulima kupata elimu na huduma kupitia kangetakilimo baada ya kuwa mwanachama na kuendelea kupata huduma bure.
Kutakuwa na mtandao wa kanda utakaoongozwa na wajasiliamali wadogowadogo na wazalisha ajira mbalimbali katika ngazi ya jamii.
Tunahamasisha kubolesha maisha e watu katika Nyanja zifuatazo;
• Afya
• maji safi
• Maswala ya fedha
• Elimu
• Msaada wa kitaalamu
• Kujitambua / kufahamu jambo
• Kujua jinsi ya kuanzisha jambo
• Kukuza uchumi.
Baixar APK

Captura de tela do aplicativo

Semelhante