Kangeta Kilimo APK 1.0.1 - Téléchargement gratuit

Télécharger APK

Dernière mise à jour: 27 Mai 2019

Informations sur l'application

Humsadia mkulima na mfugaji kutatua tatizo la magonjwa, Wadudu, magugu na masoko

Nom de l'application: Kangeta Kilimo

ID d'application: com.app.kangetakilimo

Note: 4.6 / 43+

Auteur: Kangeta Kilimo

Taille de l'application: 15.23 MB

Description détaillée

Ni mtandao wa kilimo unaotumia malighafi za kilimo na masoko yaliyopo Tanzanie pour afrique kwa jumla ikiwa imelenga wakulima wadogo wa kati na wakubwa katika kuwapatia njia bora za kilimo na technologia.

Kangetakilimo inawawezesha na kuwapa uwezo wakulima wadogowadogo kwa kutumia technologia katika kilimo kwa mlengo wa kulima kibiashara.

Kutokana na changamoto za kilimo na uataa wataalam wa kaanzisha chombo kangeta kilimo ambacho kitakuwa kakanwa kakuwa kaanzisha

- kumsaidia mkulima kutatua tatizo la visumbufu vya mazao na mifugo kama magonjwa na wadudu waharibifu kwa urahisi na uharaka kwa kutuma picha au ujumbe kisha utapatiwa majibu haraka.
- Kumsaidia mkulima kuweza kupata masoko ya mazao yake kwa urahisi na kupitia simu yake.
- Kumsaidia mkulima kufahamu mbegu bora, mbolea, viwatilifu, visumbufu vya mazao, vinyunyizi kwa kutumia simu yake
 
2 MATARAJIO

- mkulima atapata taarifa za magonjwa na visumbufu vya mazao kutoka kwa kangetakilimo app anachotakiwa ni kutuma picha y a zao lililoathiriwa il y a mdudu anayeharibu mazao pia hawa kwa kutoa kwa mawa

- pia taarifa za masoko zitapatikana kwa wakulima kupitia mfumo nilioutaja hapo juu.
Changamoto

Ulimwengu umefanya juhudi kubwa kupunguza umasikini. Mwaka 1990 asilimia 43% ya idadi ya watu katika nchi zinazo endelea wanaishi chini ya dola 1 kwa siku. Mnamo mwaka 2010 idadi hiyo ilipungua kwa nusu na kufikia asilimia 21.
Vous êtes le premier à avoir une idée de ce qui se passe à l'heure actuelle, mais vous devez être 70% moins important que jamais.
Kangetakilimo imeona polarhara ni njia nzuri ya kuondoa umasikini ambayo kila mtu anaweza kuishi na kuwa na hakiba. Kuinua kilimo ni njia muhimu katika kufikia malengo.
Fursa
Ingawa fursa ni nyingi ulimwenguni, asilimia 60% il ya watu masikini ulimwenguni wanaishi afrique. Kiasi kikubwa cha ardhi ambayo haitumiki inapatikana afrique.
Wakati huo huo matazamio ni kwa idadi ya watu Afrique ambayo inatalajiwa kuongezeka mara mbili ya milliard mbili ifikapo mwaka 2050. Ardhi na wafanyakazi vinapatikana. Changamoto moja itakuwa ni kutumia malighafi hii kufikia mahitaji yanayokua ya chakula.
Suluhisho linabaki katika kuongeza uwezo wa uzalishaji wa kilimo kulingana na UNFAO. Afrique inauwezo wa uzalishaji asilimia 24, Amérique ya kati asilimia 35, na Asie as ya kati asilimia 36. Ulimwengu umeoa kuna fulsa kubwa ya kilimo afrique.
Mapinduzi ya kilimo afrique yameendelea lakini mapinduzi haya ya kilimo yanajumuisha na kuwafaidisha masikini wanaoishi vijijini na mipakani mwa Afrique.
Mnyororo wa thamani
Wakulima wa vijijini wa Africa na nchi zinazoendelea wanapaswa kuwa ni moja ya sehemu ya suluhisho katika kuongeza uzalishaji na kuondoa umasikini vijijini. Kuna mitandao y a wakulima kulasa pour facebook, twitter et anim, il y a watsapp kwa ajili ya wakulima kupata elimu na huduma kupitia kangetakilimo baada y a kuwa mwanachama na kuendelea kupendea huduma bure.
Kutakuwa na mtandao wa kanda utakaoongozwa na wajasiliamali wadogowadogo na wazalisha ajira mbalimbali katika ngazi ya jamii.
Tunahamasisha kubolesha maisha watu katika Nyanja zifuatazo;
• Afya
• Maji safi
• Maswala ya fedha
• Elimu
• Msaada wa kitaalamu
• Kujitambua / kufahamu jambo
• Kujua jinsi ya kuanzisha jambo
• Kukuza uchumi.
Télécharger APK

Capture d'écran de l'application

Similaire