Kangeta Kilimo APK 1.0.1 - Gratis download

Downloaden APK

Laatst bijgewerkt: 27 Mei 2019

App-info

Humsadia mkulima na mfugaji kutatua tatizo la magonjwa, Wadudu, magugu na masoko

App-naam: Kangeta Kilimo

Applicatie-ID: com.app.kangetakilimo

Beoordeling: 4.6 / 43+

Auteur: Kangeta Kilimo

App-grootte: 15.23 MB

Gedetailleerde beschrijving

Ni mtandao wa kilimo unaotumia malighafi za kilimo na masoko yaliyopo Tanzania na Afrika kwa jumla ikiwa imelenga wakulima wadogo wa kati na wakubwa katika kuwapatia njia bora za kilimo na technologia.

Kangetakilimo inawawezesha na kuwapa uwezo wakulima wadogowadogo kwa kutumia technologia katika kilimo kwa mlengo wa kulima kibiashara.

Kutokana na changamoto za kilimo na uhaba wa wataalam wa kilimo Tumeamua kuanzisha chombo kangeta kilimo ambacho kitakuwa kinawaunganisha wakulima, wafugaji na wataalam wa kilimo kwa urahisi hata ukiwa mbali kiasi gani kupitia simu zao za mikononi

- kumsaidia mkulima kutatua tatizo la visumbufu vya mazao na mifugo kama magonjwa na wadudu waharibifu kwa urahisi na uharaka kwa kutuma picha au ujumbe kisha utapatiwa majibu haraka.
- Kumsaidia mkulima kuweza kupata masoko ya mazao yake kwa urahisi na kupitia simu yake.
- Kumsaidia mkulima kufahamu mbegu bora, mbolea, viwatilifu, visumbufu vya mazao, vinyunyizi kwa kutumia simu yake
 
2 MATARAJIO

- mkulima atapata taarifa za magonjwa na visumbufu vya mazao kutoka kwa kangetakilimo app anachotakiwa ni kutuma picha ya zao lililoathiriwa au ya mdudu anayeharibu mazao pia hata kwa kutoa Maelezo kwa maandishi tu

- pia taarifa za masoko zitapatikana kwa wakulima kupitia mfumo nilioutaja hapo juu.
Changamoto

Ulimwengu umefanya juhudi kubwa kupunguza umasikini. Mwaka 1990 asilimia 43% ya idadi ya watu katika nchi zinazo endelea wanaishi chini ya dola 1 kwa siku. Mnamo mwaka 2010 idadi hiyo ilipungua kwa nusu na kufikia asilimia 21.
Ingawa bado kuna idadi ya watu wafikao milioni 900 ulimwenguni ni wastani wa asilimia 70% ya idadi hiyo wanaishi vijijini, wengi wao bado wanafanya kilimo kwa ajili ya kula tu ili waweze kuishi.
Kangetakilimo imeona biashara ni njia nzuri ya kuondoa umasikini ambayo kila mtu anaweza kuishi na kuwa na hakiba. Kuinua kilimo ni njia muhimu katika kufikia malengo.
Fursa
Ingawa fursa ni nyingi ulimwenguni, asilimia 60% ya watu masikini ulimwenguni wanaishi Africa. Kiasi kikubwa cha ardhi ambayo haitumiki inapatikana Afrika.
Wakati huo huo matazamio ni kwa idadi ya watu Afrika ambayo inatalajiwa kuongezeka mara mbili ya billion mbili ifikapo mwaka 2050. Ardhi na wafanyakazi vinapatikana. Changamoto moja itakuwa ni kutumia malighafi hii kufikia mahitaji yanayokua ya chakula.
Suluhisho linabaki katika kuongeza uwezo wa uzalishaji wa kilimo kulingana na UNFAO. Afrika inauwezo wa uzalishaji asilimia 24, Amerika ya kati asilimia 35, na Azië ya kati asilimia 36. Ulimwaengu umeoa kuna fulsa kubwa ya kilimo Africa.
Mapinduzi ya kilimo Afrika yameendelea lakini mapinduzi haya ya kilimo yanajumuisha na kuwafaidisha masikini wanaoishi vijijini na mipakani mwa Afrika.
Mnyororo wa thamani
Wakulima wa vijijini wa Africa na nchi zinazoendelea wanapaswa kuwa ni moja ya sehemu ya suluhisho katika kuongeza uzalishaji na kuondoa umasikini vijijini. Kuna mitandao ya wakulima kulasa za facebook, twitter na istagram, makundi ya watsapp kwa ajili ya wakulima kupata elimu na huduma kupitia kangetakilimo baada ya kuwa mwanachama na kuendelea kupata huduma bure.
Kutakuwa na mtandao wa kanda utakaoongozwa na wajasiliamali wadogowadogo na wazalisha ajira mbalimbali katika ngazi ya jamii.
Tunahamasisha kubolesha maisha ya watu katika Nyanja zifuatazo;
• Afya
• Maji-safi
• Maswala ya fedha
• Elimu
• Msaada wa kitaalamu
• Kujitambua / kufahamu jambo
• Kujua jinsi ya kuanzisha jambo
• Kukuza uchumi.
Downloaden APK

App-screenshot

Vergelijkbaar