Nyimbo Za Kristo
  • 4.8

Nyimbo Za Kristo

  • Latest Version
  • Awesomecode Tanzania

Nakala ya nyimbo za ibada za waadventista wasabato kwa lugha ya kiswahili.

About this app

Nyimbo za Kristo ni programu inayojumuisha mkusanyiko wa nyimbo 220 kutoka katika kitabu cha Nyimbo za Kristo cha kanisa la Waadventista Wasabato kwa lugha ya Kiswahili kama kilivyohaririwa na kuchapwa na TANZANIA ADVENTIST PRESS (TAP).
Programu hii imeandaliwa kukuwezesha kumwamudu Mungu kwa njia ya uimbaji mahali popote na muda wowote, Nyimbo za kuburudisha, kutia moyo na kukufariji wakati wa huzuni.



Sifa za program ni kama zifuatazo:-

•tInahusisha eneo la utafutaji ambapo unaweza kutafuta wimbo kwa namba au kwa
neno unalokumbuka liwe jina la wimbo kwa Kiswahili, kwa kiingereza au maneno
yaliyo ndani ya wimbo.

•tInakuwezesha kuweka nyimbo unazozipenda katika orodha tofauti na hivyo kuupata
kwa urahisi wakati mwingine, pia unaweza kuuondoa pale unapoona inafaa.

•tInakuwezesha kuona nyimbo kwa makundi.


•tInakuwezesha kufuatilia wimbo kwa njia ya ala za sauti (thanks to hymnserve.com for
the accompaniments).

•tInakuwezesha kucheza ala ya wimbo hata usipokuwa kwenye programu

•tInakuwezesha kuona wimbo unaocheza

•tInakuwezesha kukuza ukubwa wa maandishi wa maneno ya wimbo kadri unavyoona
inafaa.

•tInakuwezesha kuona wimbo uliofunguliwa mara ya mwisho kwa kuuangaza.

•tInakuwezesha kushiriki maneno ya wimbo na ndugu jamaa na marafiki kwa urahisi.

•tInakuwezesha kubadili muonekano wa programu unaofaa katika mazingira ya
Mwanga au Giza ili kuwezesha uono usioumiza macho.
Programu hii imeandaliwa na kutengenezwa na Justin Diva na Godfrey Diva kwa
utukufu wa Mungu.

Versions Nyimbo Za Kristo